nauza tecno c8 170,000/=

billz949

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2013
Posts
311
Reaction score
73
nauza simu yangu aina ya Tecno C8 ikiwa katika hali nzuri sana.Simu haina tatizo lolote,haina scratches wala dent yoyote.Angalia picha ukipenda njoo tuzungumze. 0788309409

Maelewano kidogo yapo

 
uliinunua dukan au uliinunua kwa mtu(mtaani)!??

kama ni dukani, inamda gani toka uinunue..!?
 
Kama haina tatzo kwanini unaiuza???
 
simu nimeitumia kwa miezi kama minne..........naiuza sababu ya shida binafsi ya kifedha
 
Ninayo kama hiyo nimeitumia mpaka sasa ni zaidi ya mwaka mmoja na nusu na bado ninayo ni simu imara sana ila huduma ya 4G hamna.
Siweziii nkanunua simu used zama hizi isiyo na 4G Aseeeee,kama kuna mtu anayo ya 4G anistueee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…