MANKA RINGO
Member
- Mar 18, 2025
- 7
- 5
Nakazia unakuta kila style hapo zilitumika na hata kujifutia nanihii.Used 3m? Mshafanyia mapenzi na matambiko? Na waganga wenu walikaa hapo wakiagua? Kuna wakati mwingine huwa tunaleta matatizo home kwa kununua vitu used na kusumbuka kwenda kwa Manabii kuuziwa maji ya upako!
guinea mkuu๐3M kwa fedha ya nchi gani?