Nauza smart TV TCL inch 55..

Mosskiss

Senior Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
158
Reaction score
103
Wakuu nmepatwa na shida nauza TV yangu aina ya Tcl..
Nmeitumia mwezi mmoja tu..
Nmeirudisha ndani ya box lake
Bado mpyaa
Bei ni 1700,000
0713799522
Ina warranty na kila kitu chake
Haya wakuu nmeweka picha halisi za TV na cyo box tena.. Sorry camera cyo nzuri
 
Sawa ila ungeitoa kwenye box lake ili tuione
Na uweke na bei ya kuuzia
 
Mkuu mimi nimekuelewa kama ulivosema kuwa umeirudisha kwenye boksi. Sasa fanya kuitoa kwenye boksi iwashe halafu ipige picha tuione
 
Kweli Moss ile T.V niliyokupa zawadi mimi kama Mjomba wako ndio umeamua kuiuza kwa bei ya hasara hivyo tena bila ya kumshirikisha mkeo?
Kweli Moss ile T.V niliyokupa zawadi mimi kama Mjomba wako ndio umeamua kuiuza kwa bei ya hasara hivyo tena bila ya kumshirikisha mkeo?
Nataka nikanunue zawadi na sare za madera rafiki atakuwa na shughuli jumatano uncle..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…