Nauza simu ya iphone 5S

Nauza simu ya iphone 5S

Da Lu

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2016
Posts
1,209
Reaction score
2,841
Habari zenu wakuu humu ndani,

Kutokana na ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira nimeamua kuuza simu yangu iPhone 5s nimetumia mwezi 1 tu. Bei ni shs.650,000/=.
 
Habari zenu wakuu humu ndani...mm ni muhitimu wa diploma ya uhasibu.Nimeshafanya interview karibia 50 mpaka sasa sijabahatika kupata kazi.Tena interview ya Mwisho nilifanya pale chuo cha kodi.Kutokana na ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira nimeamua kuuza simu yangu iPhone 5s nmetumia mwezi 1 tu.Bei ni shs.650,000/=.
Ninayo nimetumia miezi 2 nataka 350000
 
namimi yangu nataka 500k...0787 408180
najiskia kuuza tu sina sababu
 

Attachments

  • 3dff2a32-5db1-4189-b2d6-c7f951552955.jpg
    3dff2a32-5db1-4189-b2d6-c7f951552955.jpg
    73.1 KB · Views: 61
  • 92f131aa-b219-42da-9aa2-15f392218d91.jpg
    92f131aa-b219-42da-9aa2-15f392218d91.jpg
    84.5 KB · Views: 61
Habari zenu wakuu humu ndani,

Mimi ni muhitimu wa diploma ya uhasibu. Nimeshafanya interview karibia 50 mpaka sasa sijabahatika kupata kazi. Tena interview ya mwisho nilifanya pale chuo cha kodi. Kutokana na ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira nimeamua kuuza simu yangu iPhone 5s nimetumia mwezi 1 tu. Bei ni shs.650,000/=.
Nikupe 300 sababu tayari tuna 6&7.
 
Am sure hizo za 350,000... Touch id lazima haifanyi kazi....
Muwe mnasema na matatizo bhuana...
Kupata 5S hata kwa 450,000 utaitafuta sanaaa..
 
Mkuu mm simu yangu haina tatizo lolote ile nauza 650,000/=
 
Am sure hizo za 350,000... Touch id lazima haifanyi kazi....
Muwe mnasema na matatizo bhuana...
Kupata 5S hata kwa 450,000 utaitafuta sanaaa..
Yangu haina shida yoyote unaweza ukaiona hata nikupe ukae nayo one week ndo ulipe,nimenunua iPhone 6+ ndio maana hii nauza.
 
Back
Top Bottom