Nauza simu kwa bei ya hasara

Nauza simu kwa bei ya hasara

Hassan wenger

Senior Member
Joined
Aug 21, 2014
Posts
181
Reaction score
32
Nauza simu Techno P5 kwa bei ya hasara ya Tsh laki moja tu.Simu ni nzima kabisa sababu ya kuiuza ni kupata hela ya kufanya application za chuo TCU.

Ahsanteni
 
Laki kwa tecno p5 second hand ni bei ya hasara???
 
Ungekuwa Arusha ningekupa but Uko Dar Poa kijana komaa na mambo ya mcngi
 
Nauza simu Techno P5 kwa bei ya hasara ya Tsh laki moja tu.Simu ni nzima kabisa sababu ya kuiuza ni kupata hela ya kufanya application za chuo TCU.Ahsanteni

Kama ina box chaja na earphone yake.njoo uchukue 80,000 mlimani city kesho.ila kama INA tatizo usinitafute hiyo kesho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom