Fakharu
Member
- Nov 9, 2013
- 60
- 2
Kama umeamua kutangaza hapa huna budi kuweka bei na sio kuwaambia watu wapige simu!au unatangaza number ya simu?why iwe siri mpaka tujuishane kwa simu?achen biashara za hivo,umeweka tangazo weka na bei na maelekezo yote ya muhimu.