Nauza passion fruits

Nauza passion fruits

Zesh

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2017
Posts
15,450
Reaction score
25,155
Habari wapendwa
Nauza matunda hayo aina ya passion....nauza kwa kg,na @kg ni tsh 2000 ........kwa mwenye uhitaji wa hayo matunda ani pm.
Lakini hii ni kwa watu wa dar es salaam,Lindi,mtwara,na ruvuma .
Napokea order kuanzia kg 50
Ahsante na karibuni
 
Mungu akubariki kazi ya mikono yako dada.
Ukiweza tafuta na wale wenye juice bar, natumia no project endelevu tutafanya sana biashara mwakani nitakuwa na project nazo sana.
 
Mungu akubariki kazi ya mikono yako dada.
Ukiweza tafuta na wale wenye juice bar, natumia no project endelevu tutafanya sana biashara mwakani nitakuwa na project nazo sana.
Umeisoma post ya hapo juu niliyomjibu huyo jamaa lakini?....

Any way siku Nikitaka kuifanya tutaona namna gani tunaifanya

Asante dear
 
Habari wapendwa
Nauza matunda hayo aina ya passion....nauza kwa kg,na @kg ni tsh 2000 ........kwa mwenye uhitaji wa hayo matunda ani pm.
Lakini hii ni kwa watu wa dar es salaam,Lindi,mtwara,na ruvuma .
Napokea order kuanzia kg 50
Ahsante na karibuni
Habari yako mkuu..
Vipi passion bado unazo?
Na naweza kupata more details zake aina gani unayo??.. na kwa wingi gani naweza kupata namaanisha idadi ton??na kwa kila mda gani unakua nazo.. na bei pia kama nikiwa nachukuwa kwa wingi jee.. utanipa punguzo bei nzuri... na picha kama zipo tafadhali... tunaweza kufanya biashara mkuu
Ahsante .. natarajia majibu yako ....
 
Habari yako mkuu..
Vipi passion bado unazo?
Na naweza kupata more details zake aina gani unayo??.. na kwa wingi gani naweza kupata namaanisha idadi ton??na kwa kila mda gani unakua nazo.. na bei pia kama nikiwa nachukuwa kwa wingi jee.. utanipa punguzo bei nzuri... na picha kama zipo tafadhali... tunaweza kufanya biashara mkuu
Ahsante .. natarajia majibu yako ....
Uwe na tabia ya kusoma comments zote katika uzi, Itakusaidia namna ya kuandika comment yako huko mbele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom