Nauza Nyumba na kiwanja Chake

Nauza Nyumba na kiwanja Chake

Shadya9

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
241
Reaction score
71
Nauza hii nyumba pamoja na kiwanja kilichoizunguka hii nyumba,,kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu,,zitokanazo na tatizo la kiuchumi linalonikabili

Picha ya nyumba kamili ni hio hapo..nimeweka picha takribani 4 pamoja na kiwanja Chake

Picha izo hapo chini👇👇👇👇👇

Nyumba hii ipo Mabwepande na ipo karibia na huduma zote za kijamii ikiwemo shule ya msingi na hospital

Kwa Wanunuzi makini Bei ni Milion 35 za Kitanzania mazungumzo yapo,,bei itapungua kidogo

Mawasiliano yangu ni +255 688 913 666

(0688-913 666)

Ahsanteni karibuni saana!!!!!!
 

Attachments

  • 1422434487309.jpg
    1422434487309.jpg
    78.7 KB · Views: 326
  • 1422434511291.jpg
    1422434511291.jpg
    78.9 KB · Views: 314
  • 1422434534336.jpg
    1422434534336.jpg
    107.2 KB · Views: 304
  • 1422434561261.jpg
    1422434561261.jpg
    127.4 KB · Views: 302
Pole jaman kweli shida mwanaharam yaani nyumba bado kupaua tu na plot nzur umeamua kuuza? vumilia tu shida haziishi usiuze asset nzuri kama iyo..samahan lakin
 
Weka vizuri heading ya posting yako. Kwani sio rahisi kuuza nyumba bila kiwanja chake ingawaje vina malipo tofauti kwenye kodi! Halafu ongeza maelezo kama vile ni surveyed plot, certificate of occupancy n.k.
 
Huo uwanja heka ngap mkuu!

hatua ishirini kwa ishirini na tano waeza zungushia fensi..watoto wakapata sehem ya kuchezea na sehem ya car parking..nauzia shida tu ndugu yangu
ahsante mkuu
 
Pole jaman kweli shida mwanaharam yaani nyumba bado kupaua tu na plot nzur umeamua kuuza? vumilia tu shida haziishi usiuze asset nzuri kama iyo..samahan lakin

ahsante kwa kujali ndugu yangu shida zimenikaba sina namna..ndo maisha mkuu..pamoja saana
 
Tangazo limetulia mkuu maelezo ya kutosha na picha juu
japo kuna watakaokubeza we kua mpole tu sababu unashida.....mteja utampata nakutakia kila la kheri
 
Weka vizuri heading ya posting yako. Kwani sio rahisi kuuza nyumba bila kiwanja chake ingawaje vina malipo tofauti kwenye kodi! Halafu ongeza maelezo kama vile ni surveyed plot, certificate of occupancy n.k.

Kama ww ni mnunuzi serious utapiga cm na kupata hayo maelezo unayosema, bt what I see ww ni just commenter!
 
Kama ww ni mnunuzi serious utapiga cm na kupata hayo maelezo unayosema, bt what I see ww ni just commenter!

hahhahhaa mkuu kweli kuna watu wako kwa ajili ya kukatisha watu tamaa bora umemsaidia mtoa mada kumjibu huyu jamaa maana mtu namba ya simu kaweka lakn bado tu
 
Maelezo kamili yako jukwaa la matangazo kama ilivyo hapa chini👇👇👇👇👇
 

Attachments

  • 1422438771479.jpg
    1422438771479.jpg
    80 KB · Views: 169
Weka vizuri heading ya posting yako. Kwani sio rahisi kuuza nyumba bila kiwanja chake ingawaje vina malipo tofauti kwenye kodi! Halafu ongeza maelezo kama vile ni surveyed plot, certificate of occupancy n.k.

nyaraka sahihi zote zipo ndugu
ahsante
 
Back
Top Bottom