Nauza Mkaa

Nauza Mkaa

Yn ww huogopii, mkaa gani unauza kwanza, kama ni huu wa miti tumepiga marufuku ukataji wa miti, tutakuzingira wakt wwt kuanzia leo, kama ni makaa ya mawe ruksa
Nauza Huu Wa miti, Mbo Huu Ni Mkaa Wa Miti Yangu, Nahio Sheria Yenu, Ahàhahaaa!! Wweee take care, Unataka tuwe wezi, mnatunga Sheria Ngumu Za Kutubana RAIA Wakati Hamwezi Toa ajira ndogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom