Habari ya Mujini JF-Expert Member Joined Dec 22, 2013 Posts 2,518 Reaction score 1,046 May 17, 2016 #1 Gari ipo kwenye hali nzuri sana alikuwa anatumia mama kwa shughuli za nyumbani amebadili gari ameamua kuuza hii..!! Ina Turbo..maelezo zaidi nimeweka card ya gari hapa unaweza kuipitia..! 0756624618
Gari ipo kwenye hali nzuri sana alikuwa anatumia mama kwa shughuli za nyumbani amebadili gari ameamua kuuza hii..!! Ina Turbo..maelezo zaidi nimeweka card ya gari hapa unaweza kuipitia..! 0756624618
Nokla JF-Expert Member Joined Aug 12, 2012 Posts 3,190 Reaction score 1,780 May 17, 2016 #2 Nakushauri hiyo kadi ya gari itoe haraka sana
chakii JF-Expert Member Joined Sep 15, 2013 Posts 21,613 Reaction score 28,664 May 17, 2016 #3 bushlawyer said: Nakushauri hiyo kadi ya gari itoe haraka sana Click to expand... Anawabipu wezi huyu, soon wataisaka hii gari popote pale ilipo. Maisha magumu now
bushlawyer said: Nakushauri hiyo kadi ya gari itoe haraka sana Click to expand... Anawabipu wezi huyu, soon wataisaka hii gari popote pale ilipo. Maisha magumu now
Habari ya Mujini JF-Expert Member Joined Dec 22, 2013 Posts 2,518 Reaction score 1,046 May 19, 2016 Thread starter #4 bushlawyer said: Nakushauri hiyo kadi ya gari itoe haraka sana Click to expand... Mkuu hata ivyo nadhan nilisahau kuiweka lakin sidhan kama ingekuwa shida coz kadi yenyewe ni true copy..!
bushlawyer said: Nakushauri hiyo kadi ya gari itoe haraka sana Click to expand... Mkuu hata ivyo nadhan nilisahau kuiweka lakin sidhan kama ingekuwa shida coz kadi yenyewe ni true copy..!