Nauza mashine ya Maxmalipo

Nauza mashine ya Maxmalipo

miley

Member
Joined
Aug 2, 2013
Posts
87
Reaction score
14
Anayehitaji mashine ya MaxlLipo ipo katika hali nzuri sana bei maelewano biashara huku kwangu ngumu.

Nitafute namba 0715500248au 0756171831 fasta.
 
haya mambo ya kuuziana vitu kiholela jana kuna mangi huku mtaani kauziwa lain ya tigo rusha, leo ameenda kuweka hela aanze biashara amekaa kidogo lain ikafungwa, kuwapigia tigo ikaonekana mwenyewe alienda akarenew , hela imekwenda jamaa kabaki na mawazo tu!
 
Anayehitaji mashine ya MaxlLipo ipo katika hali nzuri sana bei maelewano biashara huku kwangu ngumu.

Nitafute namba 0715500248au 0756171831 fasta.
Ninavyoelewa hiyo ni mali ya kampuni warudishie watakupa pasenti au marejesho yako kulingana na muda uliokaa nayo. Mtu mwingine akinunua bado kule makao makuu itakuwa inaonekana ni ya kwako. Ile pesa uliyotoa walipokupa ni dhamana tu. Hiyo ni kama mita ya tanesco
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom