INAUZWA Nauza mashine ya kuchomelea (welding)

fazbt

Member
Nov 27, 2018
9
6
Habari wana JF

Ninayo mashine ya kuchomelea vyuma (Welding mashine) naiuza 150,000/=.

Nipo Mtoni kwa Azizi Ali, na mashime ipo Mbezi ya Tegeta Dar es salaam.

Nipigie 0719 785 546


Sent from my TECNO S1 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu wana JF mashine hiyo bado ipo, inawezekana huu ndo muda wako wa kupata mashine nzuri, na kwa bei ya bahati.
 
pmoses95, niliinunua kipindi najifunza welding, lakini sikuendelea na mafunzo hayo. niliachia njiani. naiuza kwakua sina plani nayo yoyote kwa sasa!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…