Nauza line za Tigopesa

Nauza line za Tigopesa

Swordfisher

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2013
Posts
233
Reaction score
37
Nauza line 6 za Tigopesa kwa sh. 400,000 kila moja. Anaehitaji karibu PM
 
Unaweza nihusisha
japo kidogo mkuu kwann unaiuza iyo line.
 
Unaweza nihusisha
japo kidogo mkuu kwann unaiuza iyo line.

Ziko 6, Nina sababu zangu binafsi, zitakuwa kwa jina lako na hautapewa kwa jina la mtu mwingine yeyote.
 
Ziko 6, Nina sababu
zangu binafsi, zitakuwa kwa jina lako na hautapewa kwa jina la mtu
mwingine yeyote.

Unatakiwa kuwa na: Tin number, leseni ya Biashara, Passport size photo 1, na Copy ya kitambulisho chako ili usajiliwe kwa jina lako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom