Nauza laptop

Joined
Jun 20, 2014
Posts
11
Reaction score
0
Biashara ya laptop ni poua kabisa specification zake hard disk 1000GB,RAM 4GB na processor core i 3
 
baada ya kututajia bei.... cha msingi zaidi... ina vibali vyake vyote? je iko dukani? ni iliyotumika n.k? au ni baadhi ya mitaa hatupaswi kupita nayo au kuitumia?!!!
 
baada ya kututajia bei.... cha msingi zaidi... ina vibali vyake vyote? je iko dukani? ni iliyotumika n.k? au ni baadhi ya mitaa hatupaswi kupita nayo au kuitumia?!!!

Maswali mazuri sanaaaa. Haswa la mwisho
 
Maswali mazuri sanaaaa. Haswa la mwisho
inabidi tumuulize maana siku hizi bado tungali tukinunua vitu vya mikononi iko siku vitatughalimu na tutatakiwa kujibu kichwa au mkono wa mtu uliokatwa wakati unyang'anyi unafanyika viko wapi!!!?:cool2:
 
Phone phone phone! Stylish LG Optimus 3D P920 nauza. Ipo kwenye hali nzuri. Angalia specs zake kwe web ya lg.com then PM me kama unahitaji. Ni 450,000 bei ya kutupa. Nauzia shida tuuuuu!!!
 
Ukimuona mtu kaweka tangazo halijitoshelezi kama hilo elewa mbabaishaji huyo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…