Nauza laptop

Nauza laptop

dolphine

Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
47
Reaction score
1
Samsung laptop Ram 3gb prosecer 2gb harddisc380 gb bei sh.550000
 

Attachments

  • 1394777059313.jpg
    1394777059313.jpg
    50.1 KB · Views: 133
  • 1394777076399.jpg
    1394777076399.jpg
    39.9 KB · Views: 116
Nyie ndio wale mnaoharibu biashara za watu kwajina lingine wachawi
 
Ungekaa kimya au unawashwa

we huna akili, unavyoweka tangazo zingatia vigezo na masharti vilivyowekwa na jf, we unakurupuka Tu unaweka picha bila hata maelezo ya ziada, mfano specs, condition etc then unataka mtu akuPM, dumb nut
 
We kichwa chako kuna nati moja imeachia na kama shule mwalimu wako alipatashida sn .unaelewa maana ya maelezo zd njoo pm acha sifa mbele za watu ni bora ukae kimya utaki potezea
 
We kichwa chako kuna nati moja imeachia na kama shule mwalimu wako alipatashida sn .unaelewa maana ya maelezo zd njoo pm acha sifa mbele za watu ni bora ukae kimya utaki potezea

PM nije kufanya nini wewe kichwa maji, weka details wazi pm ya nini....haa mfanya biashara mbishi ka nini
 
Wewe darari tu sihitaji madarari dully nataka watumiaji pasua kichwa no.
 
Pole sana mkuu! kwa jinsi ulivyoshambuliwa na wewe ulivyowaka. Kweli hii ina dhihirisha sales ni kazi ya kusomea darasani. Ungekuwa walau na skills kidogo za sales ungeelewa vitu kama 4P's, 6P's na quotes kama vile " A customer is always right", "Client is a King or Queen " ah ah ah I'm sorry siku hizi wanaondoa neno Queen au King na ku replace kwa Business Partiner.

Kiufupi Online Marketing ni ngumu sana kwa mtu mwenye jazba, unaweka kukuta unapasua pasua laptop unayoiuza ( I guess ndio unayoitumia kwa sasa ku post comments za hasira. Ushauri wangu omba moderators waifunge/ waifute hii thread then fungua ingine afu kuwa makini na watu wanaotaka kukupima ustahimilivu wako. Cha msingi weka tangazo lenye kujitosheleza kama vile bei, mahala ulipo, specs na contacts zako za simu uone kama watu wataku provoke.
Soma hapo juu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom