Nauza Laptop nzuri bei chee kabisa

Nauza Laptop nzuri bei chee kabisa

ELAFU

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2014
Posts
410
Reaction score
151
Ni HP 6375s iliyopo katika hali nzuri na hard disc ya 150GB. Inakaa na chaji kwa zaidi ya masaa 2 na nusu, pamoja na RAM ya 1GB inayoweza kuongezwa. Haijawahi kusumbua, naiuza kwa kuwa nishamaliza chuo na kazi yangu haihitaji kutumia laptop. Naiuza kwa bei ya sh 250,000/= ambayo ni nafuu sana kwa laptop hii. Karibuni
0768932789
0659528724
 
Nami pia nauza yangu dell latitude d830 ram 4gb hdd 160gb. Battery 2.5hrs. Bei kama ya mkuu hapo juu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom