Computer4Sale Nauza laptop kwa Tsh 220000/= tu

2in1

JF-Expert Member
Mar 29, 2014
211
79
Wakuu habar za muda, nauza hii laptop ni used kidogo lakini haina matatizo yoyte ni hp probook 6555b
RAM 4GB
INTERNAL STORAGE 250GB
PROCESSOR 2.3GHZ
PRICE 220,000/=
LOCATION DAR ES SALAAM
CONTACT
 
Iyo hard disk ni ndogo sana na kw kua ni used nakupa 100,000/=..km uko tayar njoo pm tufanye biashara.
 
Kesho Njoo nikupe Pesa Tukutane Pale Msimbazi Police Station. .. make sure Haina Tatizo , nahitaji kwa ajili ya mwanangu Shule ..

Sina Blablaa naonmba na ww usiwe na Blablaa ..Hitalafu yeyote nitakayoikuta ilhaki umeniambi ni nzima Tutapelekana Katika hatua nyingine .

Nitakupa Pesa kwa bei yako hiyo uliyoitaja .
 
nimeku-pm mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…