Computer4Sale Nauza laptop kwa Tsh 220000/= tu

2in1

JF-Expert Member
Mar 29, 2014
211
79
Wakuu habar za muda, nauza hii laptop ni used kidogo lakini haina matatizo yoyte ni hp probook 6555b
RAM 4GB
INTERNAL STORAGE 250GB
PROCESSOR 2.3GHZ
PRICE 220,000/=
LOCATION DAR ES SALAAM
CONTACT
a2a357cbc20ec099908fa10898963ab4.jpg
7b50c7af37ca246c6771c5197e0ba8ed.jpg
96e3232d79bd2b741ac19b9c420a83e2.jpg
0f54048c6f344a1bc020211c015d1b4d.jpg
 
Iyo hard disk ni ndogo sana na kw kua ni used nakupa 100,000/=..km uko tayar njoo pm tufanye biashara.
 
Kesho Njoo nikupe Pesa Tukutane Pale Msimbazi Police Station. .. make sure Haina Tatizo , nahitaji kwa ajili ya mwanangu Shule ..

Sina Blablaa naonmba na ww usiwe na Blablaa ..Hitalafu yeyote nitakayoikuta ilhaki umeniambi ni nzima Tutapelekana Katika hatua nyingine .

Nitakupa Pesa kwa bei yako hiyo uliyoitaja .
 
Kesho Njoo nikupe Pesa Tukutane Pale Msimbazi Police Station. .. make sure Haina Tatizo , nahitaji kwa ajili ya mwanangu Shule ..

Sina Blablaa naonmba na ww usiwe na Blablaa ..Hitalafu yeyote nitakayoikuta ilhaki umeniambi ni nzima Tutapelekana Katika hatua nyingine .

Nitakupa Pesa kwa bei yako hiyo uliyoitaja .
nimeku-pm mkuu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom