Nauza laptop HP Probook 6360B

Nauza laptop HP Probook 6360B

Complex

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
4,120
Reaction score
4,788
Nauza laptop

SIFA ZAKE.

* AINA :- HP probook 6360B
* Processor :- core i5, 64 bit, 2.5Ghz
* HDD :- 500 GB
* RAM :- 4GB
* Media :- DVD WR
* Screen :- 13 Inches
* Rangi :- Kijivu
* Battery :- Inakaa na chaji kwa masaa matatu na zaidi.
* OS :- Imewekewa windows 10 pro ( 32 Bit version )

Inakuja na charger yake,

Ipo katika hali nzuri kwani iliwekewa protecting layer. Na picha inayoonekana ni protecting layer imeanza kubanduka hivyo kama utataka unaweza kuitoa yote na computer ikabaki mpya kama imetoka dukani.

Bei yake Laki nne na ishirini tuu ( 420,000 )

NOTATION :
ina tatizo la keyboard, baadhi ya button kama nne hazifanyi kazi. Hivyo tukikubaliana, tukaafikiana bei, nitakubadilishia keyboard yote na kukuwekea keyboard mpya kabisa. Gharama za hii itakuwa ndani ya hiyo bei tajwa hapo juu.

Sababu ya kuuza ni kwamba nimepata laptop nyingine, So ninazo mbili. Hivyo sina matumizi nazo zote kwa wakati mmoja.

Kwa muhitaji accoment katika hii thread ama anicheki PM nimpatie namba yangu ya simu ama yeye anipe yake nitampigia.

karibuni Nyote

Capture.GIF

WP_20161129_16_57_58_Pro.jpg
WP_20161129_16_58_47_Pro_LI.jpg
WP_20161129_16_59_17_Pro_LI.jpg
 
Laki 3 haina maslahi boss.
 
Nauza laptop

SIFA ZAKE.

* AINA :- HP probook 6360B
* Processor :- core i5, 64 bit, 2.5Ghz
* HDD :- 500 GB
* RAM :- 4GB
* Media :- DVD WR
* Screen :- 13 Inches
* Rangi :- Kijivu
* Battery :- Inakaa na chaji kwa masaa matatu na zaidi.
* OS :- Imewekewa windows 10 pro ( 32 Bit version )

Inakuja na charger yake,

Ipo katika hali nzuri kwani iliwekewa protecting layer. Na picha inayoonekana ni protecting layer imeanza kubanduka hivyo kama utataka unaweza kuitoa yote na computer ikabaki mpya kama imetoka dukani.

Bei yake Laki nne na ishirini tuu ( 420,000 )

NOTATION :
ina tatizo la keyboard, baadhi ya button kama nne hazifanyi kazi. Hivyo tukikubaliana, tukaafikiana bei, nitakubadilishia keyboard yote na kukuwekea keyboard mpya kabisa. Gharama za hii itakuwa ndani ya hiyo bei tajwa hapo juu.

Sababu ya kuuza ni kwamba nimepata laptop nyingine, So ninazo mbili. Hivyo sina matumizi nazo zote kwa wakati mmoja.

Kwa muhitaji accoment katika hii thread ama anicheki PM nimpatie namba yangu ya simu ama yeye anipe yake nitampigia.

karibuni Nyote

View attachment 441094
View attachment 441095 View attachment 441096 View attachment 441097
Mimi nina laki mbili tu bt keyboard nitaweka mwenyew
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom