Complex
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 4,120
- 4,788
Nauza laptop
SIFA ZAKE.
* AINA :- HP probook 6360B
* Processor :- core i5, 64 bit, 2.5Ghz
* HDD :- 500 GB
* RAM :- 4GB
* Media :- DVD WR
* Screen :- 13 Inches
* Rangi :- Kijivu
* Battery :- Inakaa na chaji kwa masaa matatu na zaidi.
* OS :- Imewekewa windows 10 pro ( 32 Bit version )
Inakuja na charger yake,
Ipo katika hali nzuri kwani iliwekewa protecting layer. Na picha inayoonekana ni protecting layer imeanza kubanduka hivyo kama utataka unaweza kuitoa yote na computer ikabaki mpya kama imetoka dukani.
Bei yake Laki nne na ishirini tuu ( 420,000 )
NOTATION :
ina tatizo la keyboard, baadhi ya button kama nne hazifanyi kazi. Hivyo tukikubaliana, tukaafikiana bei, nitakubadilishia keyboard yote na kukuwekea keyboard mpya kabisa. Gharama za hii itakuwa ndani ya hiyo bei tajwa hapo juu.
Sababu ya kuuza ni kwamba nimepata laptop nyingine, So ninazo mbili. Hivyo sina matumizi nazo zote kwa wakati mmoja.
Kwa muhitaji accoment katika hii thread ama anicheki PM nimpatie namba yangu ya simu ama yeye anipe yake nitampigia.
karibuni Nyote
SIFA ZAKE.
* AINA :- HP probook 6360B
* Processor :- core i5, 64 bit, 2.5Ghz
* HDD :- 500 GB
* RAM :- 4GB
* Media :- DVD WR
* Screen :- 13 Inches
* Rangi :- Kijivu
* Battery :- Inakaa na chaji kwa masaa matatu na zaidi.
* OS :- Imewekewa windows 10 pro ( 32 Bit version )
Inakuja na charger yake,
Ipo katika hali nzuri kwani iliwekewa protecting layer. Na picha inayoonekana ni protecting layer imeanza kubanduka hivyo kama utataka unaweza kuitoa yote na computer ikabaki mpya kama imetoka dukani.
Bei yake Laki nne na ishirini tuu ( 420,000 )
NOTATION :
ina tatizo la keyboard, baadhi ya button kama nne hazifanyi kazi. Hivyo tukikubaliana, tukaafikiana bei, nitakubadilishia keyboard yote na kukuwekea keyboard mpya kabisa. Gharama za hii itakuwa ndani ya hiyo bei tajwa hapo juu.
Sababu ya kuuza ni kwamba nimepata laptop nyingine, So ninazo mbili. Hivyo sina matumizi nazo zote kwa wakati mmoja.
Kwa muhitaji accoment katika hii thread ama anicheki PM nimpatie namba yangu ya simu ama yeye anipe yake nitampigia.
karibuni Nyote