Nauza laptop bei ya kawaida(picha)

Nauza laptop bei ya kawaida(picha)

lwampel

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2011
Posts
249
Reaction score
55
Nauza laptop aina ya HP(HSNNC31C)pichani. Processor 2.00GHZ, Ram 1GB, BIT 64,DUO CORE, Hard disk 75GB, web cam NO!, DVD ROOM YES!, COLUR BLACK.. haina tatizo lolote, toka ianze kutumika hata mwaka bado BEI NI 350,000/= LAKI TATU NA NUSU TU. pia Maelewano yapo.. kwa mawasiliano zaidi unaweza kunipata kupitia 0752490238. Karibuni sana!
 

Attachments

  • 64203_382371288532179_1772316651_n.jpg
    64203_382371288532179_1772316651_n.jpg
    20.7 KB · Views: 157
  • 1375833_382399768529331_836396479_n.jpg
    1375833_382399768529331_836396479_n.jpg
    27.8 KB · Views: 135
  • 1370371_382545305181444_2051645842_n.jpg
    1370371_382545305181444_2051645842_n.jpg
    32 KB · Views: 136
Mkuu nakukubali sana! vp ile dell inspiron ushaiuza?
 
Mkuu nakukubali sana! vp ile dell inspiron ushaiuza?
Ebwana mkuu ile nishapiga ela fasta.. si unajua wanaonielewa huwa hawalazi damu!? kama vp wahi mzigo huu wa sasahivi nao uko poa!.
 
hauna min ya aina hiyo kama unayo ni pm
 
Hebu ngoja nichek kesho kama yule dogo atatuma pesa!
Mkuu labda kesho tunaweza kuchekiana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom