Nauza laptop aina ya "HP"

Isaack Newton

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
619
Reaction score
371
Habari wakuu!

Nauza laptop aina ya HP imetumika mwaka mmoja na nusu, betri iko fresh inakaa na chaji masaa matatu lakini kwenye keyboard yake kuna baadhi ya batani zinasumbua. Kwa atakayehitaji bei ni 270,000/=.

Napatikana Mbezi Beach - Salasala.
0679478758.

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…