Nauza kiwanja msakuzi

Nauza kiwanja msakuzi

yes2017

Member
Joined
Jul 10, 2017
Posts
29
Reaction score
18
Habari.

Nauza kiwanja kipo msakuzi karibu na makabe
-ukubwa ni square meters 400(20 kwa 20)
-kipo eneo tambarare sio bondeni ni barabarani unaweza weka frames kwa mbele
-Hakina hati bado, ila ndo tupo kwenye mchakato wa kupata hati kwa wakazi wa eneo hilo na mwaka huu wameanza kupima
-Bei ni mil 13,hakina dalali mie ndo mwenye kiwanja, nimepatwa na shida inayohitaji fedha ndo maana nakiuza ,nilikinunua kwa ajili ya kujenga frames na vyumba vya kupangisha

-Umeme upo tayari (hautahitaji hata nguzo 1 ili umeme ukufikie)
Karibuni
 
Habari.

Nauza kiwanja kipo msakuzi karibu na makabe
-ukubwa ni square meters 400(20 kwa 20)
-kipo eneo tambarare sio bondeni ni barabarani unaweza weka frames kwa mbele
-Hakina hati bado, ila ndo tupo kwenye mchakato wa kupata hati kwa wakazi wa eneo hilo na mwaka huu wameanza kupima
-Bei ni mil 13,hakina dalali mie ndo mwenye kiwanja, nimepatwa na shida inayohitaji fedha ndo maana nakiuza ,nilikinunua kwa ajili ya kujenga frames na vyumba vya kupangisha

-Umeme upo tayari (hautahitaji hata nguzo 1 ili umeme ukufikie)
Karibuni
Ngoja waje mkuu
 
Habari.

Nauza kiwanja kipo msakuzi karibu na makabe
-ukubwa ni square meters 400(20 kwa 20)
-kipo eneo tambarare sio bondeni ni barabarani unaweza weka frames kwa mbele
-Hakina hati bado, ila ndo tupo kwenye mchakato wa kupata hati kwa wakazi wa eneo hilo na mwaka huu wameanza kupima
-Bei ni mil 13,hakina dalali mie ndo mwenye kiwanja, nimepatwa na shida inayohitaji fedha ndo maana nakiuza ,nilikinunua kwa ajili ya kujenga frames na vyumba vya kupangisha

-Umeme upo tayari (hautahitaji hata nguzo 1 ili umeme ukufikie)
Karibuni
Mkuu hiyo bei sio, hapo kiwanja saiz hiyo ni tsh mil 6 hadi 8. Hamna mtu atanunua kwa hiyo bei
 
Square meter 400 ni Kiwanja ambacho ni too limited kwenye ujenzi mkuu
Na pia bei iko juu.
Nilibahatika kuwa nacho maeneo ya mpiji square meter 1435 niliuza milioni 7 mwaka 2014
 
Poa tumekiona!!
Kiko vizuri na bei ni Chee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom