V viking JF-Expert Member Joined Aug 23, 2012 Posts 2,286 Reaction score 1,420 Apr 26, 2025 #1 Kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa 20x25. Kipo Mabwepande karibu na hospital ya Wilaya. Mauziano ni Serikali ya mitaa, huduma muhimu zipo karibu. Bei ni sh 8,400,000.00 Ukitaka maelezo zaidi piga simu au watsapp Peter +447939378570
Kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa 20x25. Kipo Mabwepande karibu na hospital ya Wilaya. Mauziano ni Serikali ya mitaa, huduma muhimu zipo karibu. Bei ni sh 8,400,000.00 Ukitaka maelezo zaidi piga simu au watsapp Peter +447939378570
mzado JF-Expert Member Joined Jan 12, 2014 Posts 1,023 Reaction score 1,534 Apr 26, 2025 #2 Hakina changamoto yoyote..?
V viking JF-Expert Member Joined Aug 23, 2012 Posts 2,286 Reaction score 1,420 Apr 26, 2025 Thread starter #3 Hakina changamoto kabisa , tunaweza kuandikishiana kwa mwana sheria sio mashahidi wa kuokoteza
Mvinyo mpya JF-Expert Member Joined Aug 24, 2013 Posts 2,544 Reaction score 5,779 Apr 26, 2025 #4 Hiyo no ya UK mkuu nishaogopa. On serious note nahitaji kukiona nitakutafuta WhatsApp.
V viking JF-Expert Member Joined Aug 23, 2012 Posts 2,286 Reaction score 1,420 Apr 26, 2025 Thread starter #5 Ok