nauza kiwanja, kibaha

nauza kiwanja, kibaha

Johnson_Siame

Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
29
Reaction score
1
kiwacha cha heka moja, kipo kibaha kwa mathias upande wa kulia kama unatoka morogoro, barabara inafika kwa sababu ndo njia ambayo magari ya mchanga yanapita, bei ni shilingi million 4.5, siitaji dalali, kama upo tayari nipigie 0652-110878
 
Kweli katika soko la Afrika Mashariki watanzania tutapata shida sana kushindana!
 
kiwacha cha heka moja, kipo kibaha kwa mathias upande wa kulia kama unatoka morogoro, barabara inafika kwa sababu ndo njia ambayo magari ya mchanga yanapita, bei ni shilingi million 4.5, siitaji dalali, kama upo tayari nipigie 0652-110878
Details hazitoshi. Kina Document?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom