Mzaleee
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,128
- 4,028
Wakuu kwema?
Ni kiwanja chenye ukubwa wa 962 square meter kilichopo mtaa wa michese jijini Dodoma
Kiwanja kimepimwa na tiari ramani ya mtaa ipo kamili,kipo jirani na shule ya msingi michese na pia ni jirani na zahanati ya michese.
Huduma kama umeme,nguzo ipo jirani hvo ni kuvuta tu,maji ndo serikali inaweka mabomba na si mda sana maji ya uhakika yatapatikana..
Kiwanja kinauzwa bila udalali na bei yake ni 1.9 million(1.9M),karibu kwa maongezi
Ni kiwanja chenye ukubwa wa 962 square meter kilichopo mtaa wa michese jijini Dodoma
Kiwanja kimepimwa na tiari ramani ya mtaa ipo kamili,kipo jirani na shule ya msingi michese na pia ni jirani na zahanati ya michese.
Huduma kama umeme,nguzo ipo jirani hvo ni kuvuta tu,maji ndo serikali inaweka mabomba na si mda sana maji ya uhakika yatapatikana..
Kiwanja kinauzwa bila udalali na bei yake ni 1.9 million(1.9M),karibu kwa maongezi