Nauza kiwanja changu kiko chato

Nauza kiwanja changu kiko chato

Ndamwe

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2008
Posts
244
Reaction score
177
Nauza kiwanja changu kina ukubwa wa mita 70 x 70 (zaidi ya ekari moja) kiko karibu na barabara ya rami, karibu na hospitali ya rufaa ya chato, bei ndogo tu maelewano
 
Nauza kiwanja changu kina ukubwa wa mita 70 x 70 (zaidi ya ekari moja) kiko karibu na barabara ya rami, karibu na hospitali ya rufaa ya chato, bei ndogo tu maelewano
Laki mbili nimnunulie mtu aliyeko huko aje kusaini na kuchukuwa kwa ajili ya kilimo
 
Nauza kiwanja changu kina ukubwa wa mita 70 x 70 (zaidi ya ekari moja) kiko karibu na barabara ya rami, karibu na hospitali ya rufaa ya chato, bei ndogo tu maelewano

Kina hati?
Unauzaje?
 
Nauza kiwanja changu kina ukubwa wa mita 70 x 70 (zaidi ya ekari moja) kiko karibu na barabara ya rami, karibu na hospitali ya rufaa ya chato, bei ndogo tu maelewano
Nakushauri ujenge uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu afu uwakodishie utopolo. Utanishukuru baadae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom