Nauza King'amuzi cha Startimes 50,000/=

Nauza King'amuzi cha Startimes 50,000/=

jackito

Member
Joined
Nov 28, 2014
Posts
33
Reaction score
24
Habari zenu,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, muhitaji niPM kwa mawasiliano, nipo Dar.
 
...we unaza 50000, wakati wenzako startimes wenyewe wanauza king'amuzi kipya sh 4000 (shilingi elfu nne msije mkafikiri ni typing error) mi nimekinunua pale ilala majuzi tu, kama hamuamini nikifika home naweka kipeperushi na receipt yake hapa.
 
...we unaza 50000, wakati wenzako startimes wenyewe wanauza king'amuzi kipya sh 4000 (shilingi elfu nne msije mkafikiri ni typing error) mi nimekinunua pale ilala majuzi tu, kama hamuamini nikifika home naweka kipeperushi na receipt yake hapa.

Acha utani mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom