Nauza iPhone 6s bei sawa na bure

Kwa hayo majibu aliyomjibu huyu muuzaji masikini sijui alivyosoma tu akafikiria nn kichwani mwake, maana haiingii akili hata kidogo biashara na ilo jibu
 
unavyotuambia laki sita unaona ni.ndogo sana au yan laki sita ni sawa na bure!?
 
Wakuu najaribu kuweka picha hapa nashindwa, mbu mtu anielekeze basi, kila niki attach naletewa url nashindwa.
 
Kamuuzie mama yako mkuu
Dah! Nimejisikia vibaya sana as if mimi ndyo nimeambiwa, hakika ningekufahamu kwa sura tungewana majengo ya serikali mimi niende jela wewe uende mochwari/hospital.
 
unavyotuambia laki sita unaona ni.ndogo sana au yan laki sita ni sawa na bure!?
Mkuu unaweza negotiate nae mkafikia pazuri tuu kwenye biashara huwa akiharibiki kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…