Nauza huawei ascend y300

Nauza huawei ascend y300

Dodido

Member
Joined
Aug 5, 2014
Posts
22
Reaction score
3
Nauza huawei ascend y300 ipo in good condition haina mikwaruzo inamda wa miez miwili.
Bei ni 160 tu.
 
Cyo za promotion za tigo inarun multiple carriers..
 
Nauza huawei ascend y300 ipo in good condition haina mikwaruzo inamda wa miez miwili. Bei ni 160 tu.

iyo kweli biashara huria dukani mpya inauzwa 150k ww umetumia miez 2 unauza 160k?
poa mkuu
 
Nauza huawei ascend y300 ipo in good condition haina mikwaruzo inamda wa miez miwili. Bei ni 160 tu.

iyo kweli biashara huria dukani mpya inauzwa 150k ww umetumia miez 2 unauza 160k?
poa mkuu
 
Huawei za saivi mpya za 160,000 zaovyo nimesha badilisha 2 sijui kwawale walio nunua zaman
 
tatizo la hizo simu y300 ni kuchelewa kwa sms kufika, natuma leo sms inafika kesho lingine ukiwa online ukiwa unaperuzi ukipigiwa nadra kupatikana hiyo yako haina matatizo hayo????
 
Dukani ni Tsh. 290 000 kijana kuwa makini..

km uliuziwa hvyo sina budi kusema walikuokota matangazo kila cku redion yanatangaza iyo bei na mm ninayo nimechukua kwa hyohyo bei 150k mkuu.
nenda tigo shop kwa uthibitisho.
 
km uliuziwa hvyo sina budi kusema walikuokota matangazo kila cku redion yanatangaza iyo bei na mm ninayo nimechukua kwa hyohyo bei 150k mkuu.
nenda tigo shop kwa uthibitisho.

Dami hii cyo za promo za tigo brother tatizo labda ni sababu nimechukua dukani SAPNA Kama unalipata hilo duka lipo samora
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom