Boss weka sifa zake hiyo laptop unayouza ili wateja wafanye maamuzi sahihi...ukitupia na picha kadhaa,ukawaeleza wateja matengenezo kidogo yanayotakiwa ni yapii unaweza washawishi.
Nauza laptop
HP Slim
MODEL :250 G 7
Inter Core i5 8th Generation
RAM:4GB
SSD: 128GB
HDD: 1TB
Running Windows 10Pro
Bei Tsh:450k
Mawasiliano: 0744878761
DSM
Ahahaha Boss haijachoka hila hizi hp body yake ndio iko hivyo.Lakini mkuu umeangalia specs za hii laptop na price tag yake??
na mteja atakayenunua ndio atakuwa mmiliki wa pili toka imetoka kiwandani.