Nauza flat screen, fridge na microwave.

teflon_1880

Member
Joined
Jun 14, 2016
Posts
49
Reaction score
12
Habari
Nauza vitu vifuatavyo vina upya wake na kila accessories zake zilizokuja navyo kutoka dukani

Samsung Smart Flat Screen inch 40 kwa Tshs. 1.3M

Fridge westpoint kwa Tshs. 650,000/=

Microwave kwa 150,000/=

Mwenye Uhitaji naomba nicheck inbox tufanye biashara napatikana Dar es salaam.





 
Shusha bei fridge hiyo nichukue, nitolee 500,000 nikupe 6,000,000
 
bei ya friji ni 6.5M au umekosea?
 
Ulikuwa unakaa nyumba ya kupanga?
Maana microwave unaweka juu ya friji badala ya juu ya marble jikoni?
BTW: Bei zako zipo juu,zama zimebadilika.
Usimind!!
 
Kwa zama hiz Mkuu hzo bei si rafik kabisa..


Just a piece of àn advice
 
Nahitaji fridge, niko Arusha, natoa laki nne chap, kama uko tayari njoo inbox
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…