Jeny faraji
Senior Member
- Jan 20, 2018
- 164
- 34
Feni bado imara na mpya. Bei 45,000
Nipo Dar es salaam kwa atakae hitaji nitafute namb >> 0766166483
Nipo Dar es salaam kwa atakae hitaji nitafute namb >> 0766166483
Weka picha ili tangazo lako liwe limekamilikaFeni bado imara na mpya. Bei 45,000
Nipo Dar es salaam kwa atakae hitaji nitafute namb >> 0766166483
Vipi mbona joto bado lipo? Au umefunga kiyoyozi?Feni bado imara na mpya. Bei 45,000
Nipo Dar es salaam kwa atakae hitaji nitafute namb >> 0766166483
Ninazo nyingiVipi mbona joto bado lipo? Au umefunga kiyoyozi?
Hyo picha tayarWeka picha ili tangazo lako liwe limekamilika
Kwanini ulinunua nyingi sasa?Ninazo nyingi
Apana zote ziko imara ila nauza moja moja mpka nibaki nayo mojaKwanini ulinunua nyingi sasa?
Hiyo unayouza ndo inasumbua kuliko hizo nyingine au?
Basi ungeweka picha ya zote ili wateja wajichagulie inayowafaa...Apana zote ziko imara ila nauza moja moja mpka nibaki nayo moja
Apana naanza nahiyo coz ningeweka zote binadam nyie hamna jema mgeshasema mara ooh ww ni mtengeneza fen mbona fen nyng hvo, mara ooh umezipanga kama maandazi mara ooh kama sokon! So nunueni kwanza hyo afu ntaweka na nyngneBasi ungeweka picha ya zote ili wateja wajichagulie inayowafaa...
Basi sawa... ngoja nikuache na wateja wako...Apana naanza nahiyo coz ningeweka zote binadam nyie hamna jema mgeshasema mara ooh ww ni mtengeneza fen mbona fen nyng hvo, mara ooh umezipanga kama maandazi mara ooh kama sokon! So nunueni kwanza hyo afu ntaweka na nyngne
Aya poaBasi sawa... ngoja nikuache na wateja wako...
Mi napambana na kiyoyozi changu huku shambani Mpitimbi...