toplemon JF-Expert Member Joined Mar 26, 2017 Posts 4,607 Reaction score 4,769 Jul 9, 2018 #1 Habari wapendwa nauza fb page yangu ina watu 21k (zaidi ya watu elfu ishirini na.moja) Karibuni sana jamani nauzia shida tuu nimepatwa na shida mnoo Karibuni wapendwa Ukihitaji njoo pm
Habari wapendwa nauza fb page yangu ina watu 21k (zaidi ya watu elfu ishirini na.moja) Karibuni sana jamani nauzia shida tuu nimepatwa na shida mnoo Karibuni wapendwa Ukihitaji njoo pm
toplemon JF-Expert Member Joined Mar 26, 2017 Posts 4,607 Reaction score 4,769 Jul 9, 2018 Thread starter #2 Karibuni
Sauda JF-Expert Member Joined Jun 26, 2018 Posts 861 Reaction score 1,114 Jul 9, 2018 #3 Yangu pia nauza, inaitwa 'Utamu Zone'
toplemon JF-Expert Member Joined Mar 26, 2017 Posts 4,607 Reaction score 4,769 Jul 10, 2018 Thread starter #4 Zinduna Zindune said: Yangu pia nauza, inaitwa 'Utamu Zone' Click to expand... Yap
mtu watu JF-Expert Member Joined Dec 10, 2017 Posts 2,123 Reaction score 1,617 Jul 10, 2018 #5 sh ngapi na inaitwaje?
toplemon JF-Expert Member Joined Mar 26, 2017 Posts 4,607 Reaction score 4,769 Jul 10, 2018 Thread starter #6 mtu watu said: sh ngapi na inaitwaje? Click to expand... Njoo pm kk
Mr Miller JF-Expert Member Joined Jan 24, 2017 Posts 11,449 Reaction score 25,831 Jul 10, 2018 #7 Umekua unaPost content gani tangu umeifungua?
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 46,423 Reaction score 57,325 Jul 10, 2018 #8 Una uhakika ukiuza hiyo page shida zako zitaisha
Professional Trader JF-Expert Member Joined Apr 5, 2016 Posts 1,220 Reaction score 1,122 Jul 10, 2018 #9 mjingamimi said: Una uhakika ukiuza hiyo page shida zako zitaisha Click to expand... Duh mbona unamlostisha kijana mkuu[emoji125] [emoji125] [emoji125]
mjingamimi said: Una uhakika ukiuza hiyo page shida zako zitaisha Click to expand... Duh mbona unamlostisha kijana mkuu[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mbao za Mawe JF-Expert Member Joined May 11, 2015 Posts 23,372 Reaction score 55,049 Jul 10, 2018 #10 Au ndio ile ya Tanzagiza nije kupata Taabu?
toplemon JF-Expert Member Joined Mar 26, 2017 Posts 4,607 Reaction score 4,769 Jul 11, 2018 Thread starter #11 Mr Miller said: Umekua unaPost content gani tangu umeifungua? Click to expand... Za mastaa tu mkuu
toplemon JF-Expert Member Joined Mar 26, 2017 Posts 4,607 Reaction score 4,769 Jul 11, 2018 Thread starter #12 mjingamimi said: Una uhakika ukiuza hiyo page shida zako zitaisha Click to expand... Ndioooo
toplemon JF-Expert Member Joined Mar 26, 2017 Posts 4,607 Reaction score 4,769 Jul 11, 2018 Thread starter #13 Professional Trader said: Duh mbona unamlostisha kijana mkuu[emoji125] [emoji125] [emoji125] Click to expand... Mwache tu ajipotezee muda
Professional Trader said: Duh mbona unamlostisha kijana mkuu[emoji125] [emoji125] [emoji125] Click to expand... Mwache tu ajipotezee muda
toplemon JF-Expert Member Joined Mar 26, 2017 Posts 4,607 Reaction score 4,769 Jul 11, 2018 Thread starter #14 Mbao za Mawe said: Au ndio ile ya Tanzagiza nije kupata Taabu? Click to expand... Hahahaha hivi wewe jamaa utaachaga lini vituko???[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mbao za Mawe said: Au ndio ile ya Tanzagiza nije kupata Taabu? Click to expand... Hahahaha hivi wewe jamaa utaachaga lini vituko???[emoji12] [emoji12] [emoji12]
buyoya419 JF-Expert Member Joined Oct 20, 2017 Posts 631 Reaction score 512 Jul 11, 2018 #15 jamaa wa tanzagiza tapeli yule
toplemon JF-Expert Member Joined Mar 26, 2017 Posts 4,607 Reaction score 4,769 Jul 11, 2018 Thread starter #16 Yeah