S Sungura dume JF-Expert Member Mar 28, 2016 562 502 Dec 19, 2023 #1 Nauza eneo lipo msata ni karibu kabisa na Barbara kubwa umeme upo karibu sana na pia maji ni karibu sana ya dawasco. Bei ni million sita na nusu eneo ni kubwa. Karibu dm.
Nauza eneo lipo msata ni karibu kabisa na Barbara kubwa umeme upo karibu sana na pia maji ni karibu sana ya dawasco. Bei ni million sita na nusu eneo ni kubwa. Karibu dm.
kawombe JF-Expert Member Mar 26, 2015 13,197 13,632 Dec 19, 2023 #2 Eneo ni kubwa karibu PM pamoja na picha.
rubii JF-Expert Member Feb 22, 2015 13,289 16,693 Dec 20, 2023 #4 MSATA ipi?? Milioni 6 eneo kubwa. Ukubwa gani huo?
dudus JF-Expert Member Feb 28, 2011 22,191 49,602 Dec 20, 2023 #5 rubii said: MSATA ipi?? Milioni 6 eneo kubwa. Ukubwa gani huo? Click to expand... Probably itakuwa viporipori vya Msata hapo njia ya Bagamoyo.
rubii said: MSATA ipi?? Milioni 6 eneo kubwa. Ukubwa gani huo? Click to expand... Probably itakuwa viporipori vya Msata hapo njia ya Bagamoyo.
Grahams JF-Expert Member Mar 19, 2016 11,606 35,618 Dec 20, 2023 #6 Ungefanikiwa kutaja ukubwa wa hilo eneo (badala ya nadharia kwamba kubwa) ingefaa sana
rubii JF-Expert Member Feb 22, 2015 13,289 16,693 Dec 20, 2023 #9 dudus said: Probably itakuwa viporipori vya Msata hapo njia ya Bagamoyo. Click to expand... Sawa kuna majina ni wapi na ukubwa gani
dudus said: Probably itakuwa viporipori vya Msata hapo njia ya Bagamoyo. Click to expand... Sawa kuna majina ni wapi na ukubwa gani
ElPuto Jefe JF-Expert Member Oct 16, 2015 5,265 19,161 Dec 20, 2023 #10 Duuuh.... Ekari 12 kwa milioni 6..!? Mbona chee hivo....
Ulongupanjala JF-Expert Member Apr 9, 2013 7,743 12,423 Dec 20, 2023 #11 Kama unagawa bure sema tu,wapenda vya bure wamejaa tele.
monopoly inc JF-Expert Member Dec 20, 2016 5,265 11,313 Dec 20, 2023 #12 Kama huuzi sema tu? Unaulizwa hujibu! Details zako hazieleweki