hapo kwenye red:
Wewe inaonesha ni kwa kiwango gani ni kilaza na upo kwa ajili ya kuponda, kwa taarifa yako betri za kuchaji zinauzwa sh. 20,000, so unaposema kama ni ya kucharge inastahili hiyo bei, na kama sio hata laki 1 ni ghali unamaana betri ya kuchaji inauzwa zaidi ya sh. 120,000. We kweli kilaza, shame on you.