Bajaji pichani inatembea,haina tatizo Bei mil 3. Maongezi yanaruhusiwa nicheki 0762364074View attachment 729657View attachment 729659
Bajaji inapatikana dar maeneo ya Mbezi mwishoBajaji pichani inatembea,haina tatizo Bei mil 3. Maongezi yanaruhusiwa nicheki 0762364074View attachment 729657View attachment 729659
Matairi mazima betri mpya N 40.Inapiga starter,betri ni nzima,matairi.
Ndio maana nimesema maongezi yanaruhusiwaNumber A unauza 3mil ??
Kawaida ni tsh 15,000/ per dayHesabu ya boss kwa kawaida DSM huwa ni sh ngap per day?
Asante mkuu maana ninamawazo ya kununua moja ya kuboost kipato changu. Na service inakuwa juu yangu au juu ya niliyemkabidhi bajaji?Kawaida ni tsh 15,000/ per day
Ila kama chombo ni kipya hesabu inakua ni tsh 18,000 mpaka 20,000/=
Full service inakua ni juu yako mfano kama unataka kufanya overall maintenance.. Ila kumwaga oil na kubadilisha vitu vidogo vidogo mfano plugs na kubadilisha side mirror, rubber etc ni juu yake.Asante mkuu maana ninamawazo ya kununua moja ya kuboost kipato changu. Na service inakuwa juu yangu au juu ya niliyemkabidhi bajaji?
Asante sana mkuuFull service inakua ni juu yako mfano kama unataka kufanya overall maintenance.. Ila kumwaga oil na kubadilisha vitu vidogo vidogo mfano plugs na kubadilisha side mirror, rubber etc ni juu yake.
Mimi niliingia nae mkataba service inayozidi elfu 10, Ndio tunashare cost.
All the best mkuu ukipata dereva mwaminifu na anayejua maisha ni nin, utapata faida sana hasa ukimkabidhi chombo kizima (kisichosumbua)
N.B. Nilikua nazo mbili zote zikanifilisi.