Acha porojo hakuna asali chungu, zote ni tamu. Tupe sababu kwa nini tununue ya kwako?.za jumapili wanajamii...pata asali tamu mbichi ya nyuki wa kubwa kutoka katavi kwa tsh 11,000 tu kwa lita...npo dar ....kwa mawacliano piga 0757478961
Acha porojo hakuna asali chungu, zote ni tamu.
c kweli asali ya Tabora INA nicotine nyingi hvyo inakataliwa c nzur
Kwahiyo,nyuki wa Tabora inabidi wachunguzwe kwa utengenezaji wao mbovu wa asali.
c kweli asali ya Tabora INA nicotine nyingi hvyo inakataliwa c nzur
Habari za asubuhi wapendwa wanajamii,
Poleni ambao hampo vzr kiafya... Nauza asali mbichi ya nyuki wakubwa kutoka mkoa wa Katavi.. Ni Asali ambayo haijachakachuliwa.. Lita moja ni tsh 11,000 tu. Kuanzia Lita 2- 40, nakuletea popote.
Nipo Dar na kwa yeyote anayehitaji tuwasiliane kwa 0757478961.
Asanteni sana