Nauza Asali "PURE"

Nauza Asali "PURE"

Ntuzu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2013
Posts
17,418
Reaction score
10,877
Wakuu nauza Asali mbichi yani Pure iko Dar es salaam. Kwa anaehitaji anitumie PM ili nimpe mawasiliano yangu.

Asanteni.
 
sasa kama we ni mfanya biashara unaficha numba ya simu ili iweje? nilitegemea baada ya Somo la Mahinya, mtachangamkia fursa hii ya kuuza asali mbichi kwa kutitangaza na kuweka numba za simu hadharani na hata office location, na namna ya kufika hapo. Upungufu wa nguvu ni njanga la kitaifa hivyo kama dawa simpo imepatikana na ingredient mojawapo ni asali mbichi changamkieni kufanya biashara hii ili kuokoa jahazi la wanaume wanaodharauriwa kwa kupungukiwa na nguvu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom