Haina Nicotine?Kwa jumla mwenye masoko naomba tuwasiliane akitaka kununua kwa kilo au kwa lt vyote tnafanya biashala ata ikiwa njee ya nchii
Haina Nicotine?
Heheheeeee....no 'clubing', no 'glosaling' at all. Then no 'masking'.Hapana haina hiyo kitu, sisi huwa hatuweki hiyo rangi, mizinga yetu ya nyuki ipo karibu sana na mashamba ya tumbaku ambapo uangalizi ni mkubwa! Lol!
Natania tu wanajamvi, wewe unayeogopa nicotin ya kwenye asali kila week end upo 'club' au 'glosali'na huko huwa unavaa mask?