Nauza asali mbichi ya nyuki wakubwa

Nauza asali mbichi ya nyuki wakubwa

Bray baba

Senior Member
Joined
Oct 17, 2019
Posts
151
Reaction score
626
Wakuu habari zenu,

Mwenye uhitaj wa asali mbichi ya nyuki wakubwa mimi ninauza.

Nipo Morogoro.

Nina asali katika madumu ya ujazo wa lita 20 na nina madumu yenye asali yapatayo 50.

Kwa yeyote mwenye uhitaji au mwenye kujua wapi nitapata soko anipe connection.
 
Habari ndugu wote humu jamvini!!jamani mwenye kujua wapi au nani/kampuni gani wananunua asali mbichi ya nyuki wakubwa, Mimi ninauza Nina dumu za Lita 20 zipatazo ishirini,,,nipeni muongozo tafadhali.
Location na bei
 
Habari ndugu wote humu jamvini!!jamani mwenye kujua wapi au nani/kampuni gani wananunua asali mbichi ya nyuki wakubwa, Mimi ninauza Nina dumu za Lita 20 zipatazo ishirini,,,nipeni muongozo tafadhali.
Mkuu unasafirisha kutoka south African Hadi Tanzania?
 
Wakuu habari zenu,

Mwenye uhitaj wa asali mbichi ya nyuki wakubwa mimi ninauza.

Nipo Morogoro.

Nina asali katika madumu ya ujazo wa lita 20 na nina madumu yenye asali yapatayo 50.

Kwa yeyote mwenye uhitaji au mwenye kujua wapi nitapata soko anipe connection.
 
Habari ndugu wote humu jamvini!!jamani mwenye kujua wapi au nani/kampuni gani wananunua asali mbichi ya nyuki wakubwa, Mimi ninauza Nina dumu za Lita 20 zipatazo ishirini,,,nipeni muongozo tafadhali.

peleka lusaka zambia. utanishukuru badae
 
Mkuu una asali ili ambayo haijakamuliwa? Yaani yenyewe imetoka kwenye mzinga au shimo au mti na kuhifadhiwa bila ya kukamuliwa.
 
Wakuu habari zenu, mwenye uhitaj wa asali mbichi ya nyuki wakubwa Mimi ninauza,,,nipo Morogoro ninayo katika madumu ya ujazo wa lita 20,,Nina madumu yenye asali yapatayo 50,kwa yeyote mwenye uhitaj au mwenye kujua wapi nitapata soko anipe connection.
Tatizo mnachanganya sana asali. Siyo pure.
 
Ukikosa wateja tafuta chupa, jaza na wape vijana wa msavu wakawauzie wasafiri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom