Exactly what I thought...soo many battles are going on here I saw some stopwatches being thrown, some fancy University names and courses its really hard to keep track whats going on.
My advice kwa mtoa maada before you start coding in any programming language inabidi ufikirie kama programmer kuna njia nyingi za kujifunza mimi nilianza na kujifunza algorithms kwa kuandika pseudocodes na kuchora flowcharts.
Pseudocode-kwa lugha rahisi haya ni maelezo ya hatua program yako inazopitia ili kutimiza kazi yake.
Mfano wa Pseudocode kujumlisha namba 2
1.START
2.Enter Number 1
3.Enter Number 2
4.Add the numbers together
5.Display Sum
6.END
Flowchart-kwa lugha rahisi hii ni picha ya hatua zitakazofuatwa na programu yako kutimiza kazi yake.
Mfano wa Flowchart Kujumlisha namba 2
Unaweza kufanya majaribio na kutafua mifano mbali mbali kama kujumlisha odd numbers, even numbers less than 20 etc.
Ukiweza kupata hizo basic concepts ndio unaweza kuanza kutumia programming languages kama Python,C++ etc
Angalizo inahitaji uvumilivu kwa kuanza kujifunza utatengeneza vitu vidogo sana usitake kuimbilia kutengeneza mambo makubwa, ukiwa na fundamental concepts kwa kweli the sky is the limit.
Mimi nilifuata njia hiyo na mpaka sasa kujifunza lugha mpya ya programming haijawahi kunitatiza maana zote zinafuata basic concepts nilizoeleza hapo juu kinachobadilika ni maandishi/maneno yanayotumika.