Mzee wa kurekebisha Senior Member Joined Sep 29, 2012 Posts 178 Reaction score 170 Jan 13, 2018 #1 Wakuu naombeni kwa aliyewahi kwenda huko anipe maelezo ya ziada ni mambo gani ya kutahadhari, sifa na miji na ukarimu wa watu wake na asisahau kunieleza kuhusu hali ya amani ya nchi hiyo. Nimeamua tu kwenda kutalii huko.
Wakuu naombeni kwa aliyewahi kwenda huko anipe maelezo ya ziada ni mambo gani ya kutahadhari, sifa na miji na ukarimu wa watu wake na asisahau kunieleza kuhusu hali ya amani ya nchi hiyo. Nimeamua tu kwenda kutalii huko.
Mr muhuni JF-Expert Member Joined May 26, 2014 Posts 1,304 Reaction score 1,268 Jan 13, 2018 #2 Unaweza Google pia then ukajazia na huku pia
S Sukusi Member Joined Mar 16, 2016 Posts 47 Reaction score 28 Jan 13, 2018 #3 Ni salama, watu wakarimu, wanaongea kingazidja. Mji mzuri kufikia ni Moroni Ukitaka zaidi, uliza kitu specific mm nimekwenda huko mara kadhaa.
Ni salama, watu wakarimu, wanaongea kingazidja. Mji mzuri kufikia ni Moroni Ukitaka zaidi, uliza kitu specific mm nimekwenda huko mara kadhaa.
GAZETI JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 5,292 Reaction score 6,768 Jan 13, 2018 #4 Sukusi said: Ni salama, watu wakarimu, wanaongea kingazidja. Mji mzuri kufikia ni Moroni Ukitaka zaidi, uliza kitu specific mm nimekwenda huko mara kadhaa. Click to expand... Mkuu hata mimi natamani kwenda huko vipi wanaweza kiswahili maada wale wadada wa huko ninaokutana nao kariakoo naona kama wanaiongeaongea vile!
Sukusi said: Ni salama, watu wakarimu, wanaongea kingazidja. Mji mzuri kufikia ni Moroni Ukitaka zaidi, uliza kitu specific mm nimekwenda huko mara kadhaa. Click to expand... Mkuu hata mimi natamani kwenda huko vipi wanaweza kiswahili maada wale wadada wa huko ninaokutana nao kariakoo naona kama wanaiongeaongea vile!
falcon mombasa JF-Expert Member Joined Mar 5, 2015 Posts 9,213 Reaction score 9,334 Jan 13, 2018 #5 GAZETI said: Mkuu hata mimi natamani kwenda huko vipi wanaweza kiswahili maada wale wadada wa huko ninaokutana nao kariakoo naona kama wanaiongeaongea vile! Click to expand... unapenda wanavyojichorachora
GAZETI said: Mkuu hata mimi natamani kwenda huko vipi wanaweza kiswahili maada wale wadada wa huko ninaokutana nao kariakoo naona kama wanaiongeaongea vile! Click to expand... unapenda wanavyojichorachora
K K A B U R U JF-Expert Member Joined Nov 24, 2011 Posts 922 Reaction score 1,257 Jan 16, 2018 #6 Kuna uzi humu ndani wa Mh Mwandosya utafute.
K K A B U R U JF-Expert Member Joined Nov 24, 2011 Posts 922 Reaction score 1,257 Jan 16, 2018 #7 Kuna uzi humu ndani wa Mh Mwandosya utafute.