Singa Singa
Member
- Dec 12, 2014
- 47
- 46
Kaanze form 1 kama hutaki QT,Habari wana jamvi
Mm Elimu yangu ni form2 niliishia apo nina Ujuzi mkubwa tu na mambo ya Computer napenda sana kuwa na sever yangu mf. Google mozilla nk. Nilimfata teach mmoja akaniambia unachotakiwa kufanya nikusoma QT miaka 2 dhen nikifalu vizur nikasome chuo kimja kipo Posta kikubwa2 manake hv coleg za uchochoroni havina sifa yyte ata ykiomba kaz utaangaika2.....
Mmi shida yangu nikujiajiri co kuajiriwa manake toka nazaliwa biadhara ya kuajiriwa haipo kichwani mwangu mpaka nakufa
Shida yangu nukusimea iko chuo ili niongeze nowlage kichwani mwangu ili niweze kufanikisha yaliuo yangu
Na kuhusu kusoma QT cko tayari kusoma miaka2 hata kama niliishia form3 .. 2009 naombeni ushaur wenu
Kama lengo kuwa na sever hapo ni mtaji tu ,wala haihitaji elimu kubwa sana ,Mfano wamiliki wa Google ,Facebook ,twitter na nk ,hawa walianza kidogokidogo baadae wavyokuwa wanaendelea wakaajiri wataalamu wa kuweza kumanage biashara zao ,Kwahiyo wewe kama una mtaji unaweza kuanza kidogokidogo kwa kuanzisha mtandao Mdogo then baadae ukikua utasajiri kama kampuni na kuanza kuajiri wataalam wakusaidie Kazi.