Habari wadau nimemaliza form four nikapata div 2 ya 21, ila sikusoma physics...ndo nataka nirudie hilo somo moja tu....
Je inawezekana? Kama wakitaka masomo mawili naweza nikasoma Physics na Civics maana civics ndo nilipata D.
Pia mwenye kufahamu vituo vizuri vya kurudia kwa Dar, Mwanza au Arusha anijuze.
karbuni kwa ushauri wadau.