Nataka kujua bei ya kiwanja Chanika

Nataka kujua bei ya kiwanja Chanika

Rmma

Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
67
Reaction score
5
Wadau naombeni kujua bei ya kiwanja chenye ukubwa wa robo heka maeneo ya Chanika.Je,naweza kupata kwa shilingi ngapi?Nisaidieni wadau wenye kujua.
 
Wadau naombeni kujua bei ya kiwanja chenye ukubwa wa robo heka maeneo ya Chanika.Je,naweza kupata kwa shilingi ngapi?Nisaidieni wadau wenye kujua.


Muone MC Anton ndiye anauza Viwanja huko Chanika na hivi karibuni ametoa tanzazo humu anauza kwa 1.5 M
 
Last edited by a moderator:
Muone MC Anton ndiye anauza Viwanja huko Chanika na hivi karibuni ametoa tanzazo humu anauza kwa 1.5 M

1.5M chanika huwezi pata kiwanja,kwa hiyo bei nenda kisarawe huko!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Hata Mimi nlimuona akaniuzia Kiwanja kizuriii na Umeme hapo hapo.

Hongera MAKAZI ESTATE.
 
mkuu kipo kiwanja 39 kwa 20 .kuna umeme na barabara mpaka kwenye kiwanja mkuu .contact 0713 95 92 90
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom