May Day JF-Expert Member Joined May 18, 2018 Posts 6,367 Reaction score 9,118 Dec 14, 2020 #21 Doji MD said: mkuu, hivyo nitumie mbinu gani nyingine nifanikishe wazo langu.. Click to expand... Ni labda uanze na ulichonacho mkononi au utafute kwenye vyanzo vingine. Na usidanganyike ukatafuta mikopo ya uchochoroni utaumia, pamoja na benki kuwa na utaratibu huo lakini ina ukweli....shughuli kabla hujaianza huwezi kujua panda na shuka zake.
Doji MD said: mkuu, hivyo nitumie mbinu gani nyingine nifanikishe wazo langu.. Click to expand... Ni labda uanze na ulichonacho mkononi au utafute kwenye vyanzo vingine. Na usidanganyike ukatafuta mikopo ya uchochoroni utaumia, pamoja na benki kuwa na utaratibu huo lakini ina ukweli....shughuli kabla hujaianza huwezi kujua panda na shuka zake.