M m bena Member Joined Aug 22, 2013 Posts 18 Reaction score 1 Sep 4, 2013 #1 mwenye bajaji anaeuza tuwasiliane kwa namba hii0783907323
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,889 Reaction score 2,799 Sep 4, 2013 #2 Haijalishi imesajiliwa mwaka gani?
Ebebe Member Joined Nov 20, 2012 Posts 12 Reaction score 1 Sep 5, 2013 #3 Mi ninayo ya mwaka 2011 usajili utanipm tuongee biashara.
K K A B U R U JF-Expert Member Joined Nov 24, 2011 Posts 922 Reaction score 1,257 Sep 11, 2013 #4 NATAKA! Yaani hiyo ndiyo lugha ya biashara haswaaaa, ina maana uko na nguvu ya fedha. WANT VS NEED! Bahati mbaya sina bajaji, ila nakushauri uwavizie wale wanaobahatika na tiGO kwa kuwa sio wote wanazihitaji.
NATAKA! Yaani hiyo ndiyo lugha ya biashara haswaaaa, ina maana uko na nguvu ya fedha. WANT VS NEED! Bahati mbaya sina bajaji, ila nakushauri uwavizie wale wanaobahatika na tiGO kwa kuwa sio wote wanazihitaji.
J jordan23 Member Joined Sep 3, 2013 Posts 11 Reaction score 4 Sep 12, 2013 #5 Ninayo Bajaj na ina tatizo la kioo mana kilivunjika ila kila kitu kipo fresh.Kama uko tayari niPM