Natafuta wazo la biashara, nataka kuwekeza mtaji wa kati ya 5m - 15m na baada ya mradi kusimama niweze kupata kipato sio chini ya laki 5 kwa mwezi baada ya kuondoa gharama za uzalishaji. Naombeni maoni yenu wakuu.
Natafuta wazo la biashara, nataka kuwekeza mtaji wa kati ya 5m - 15m na baada ya mradi kusimama niweze kupata kipato sio chini ya laki 5 kwa mwezi baada ya kuondoa gharama za uzalishaji. Naombeni maoni yenu wakuu.
Natafuta wazo la biashara, nataka kuwekeza mtaji wa kati ya 5m - 15m na baada ya mradi kusimama niweze kupata kipato sio chini ya laki 5 kwa mwezi baada ya kuondoa gharama za uzalishaji. Naombeni maoni yenu wakuu.
Mkuu nina wazo zuri kabisa nimeliweka katika business plan, ukilifanyia kazi iyo plan hutojuta nimelifanyia research na katika hiyo biashara niliyoiandikia wazo mimi ni moja ya mteja mkubwa
Mkuu nina wazo zuri kabisa nimeliweka katika business plan, ukilifanyia kazi iyo plan hutojuta nimelifanyia research na katika hiyo biashara niliyoiandikia wazo mimi ni moja ya mteja mkubwa