Polmo JF-Expert Member Joined Mar 10, 2017 Posts 244 Reaction score 185 Apr 28, 2018 #1 Kama ujumbe unavyojieleza hapo juu nataka kufanya nao biashara. Kwa wale wanaoifahamu biashara hiyo
Polmo JF-Expert Member Joined Mar 10, 2017 Posts 244 Reaction score 185 Apr 28, 2018 Thread starter #2 Na dagaa pia
palesh pizoo Senior Member Joined Apr 14, 2018 Posts 131 Reaction score 224 Apr 28, 2018 #3 unapatikana api
E Elijah Steel Senior Member Joined May 17, 2016 Posts 118 Reaction score 166 Apr 28, 2018 #4 Uko wap?
E Elijah Steel Senior Member Joined May 17, 2016 Posts 118 Reaction score 166 Apr 28, 2018 #5 Naweza kukuelekeza biashara ya dagaa. Lakini shida kubwa sana ni UAMINIFU kwenye hii biashara kupigwa ni nje nje.
Naweza kukuelekeza biashara ya dagaa. Lakini shida kubwa sana ni UAMINIFU kwenye hii biashara kupigwa ni nje nje.
dogo g77 Member Joined Sep 6, 2017 Posts 51 Reaction score 24 Apr 28, 2018 #6 samaki wa aina gani maji chumvi au maji batidi
palesh pizoo Senior Member Joined Apr 14, 2018 Posts 131 Reaction score 224 Apr 28, 2018 #7 tatizo haelezi yuko wapi ili hata kumsaidia asaidiwe kwa eneo la karibu naye
JFK wabongo JF-Expert Member Joined Aug 11, 2015 Posts 3,887 Reaction score 3,200 Apr 29, 2018 #9 Elijah Steel said: Naweza kukuelekeza biashara ya dagaa. Lakini shida kubwa sana ni UAMINIFU kwenye hii biashara kupigwa ni nje nje. Click to expand... Wewe ni msambazaji au ni mnunuzi?
Elijah Steel said: Naweza kukuelekeza biashara ya dagaa. Lakini shida kubwa sana ni UAMINIFU kwenye hii biashara kupigwa ni nje nje. Click to expand... Wewe ni msambazaji au ni mnunuzi?
Jini Kisiranii JF-Expert Member Joined Feb 20, 2018 Posts 2,021 Reaction score 2,442 Apr 29, 2018 #10 Inaelekea ni mtu asiyejulikana
K kenkule Member Joined Dec 1, 2017 Posts 38 Reaction score 30 Apr 29, 2018 #11 Kwa upande wa dagaa nipo apa asee lete dili tupige