Natafuta wafadhili wa Masmo

BISHANGA AM

Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
15
Reaction score
7
Habari zenu ndugu zangu..Naomba ushauri,Mawazo,Msaada wa namna ya kupata ufadhili wa masomo...Nimepata admission ya kujiunga na Chuo kikuu cha Dar es Salaam kwa fani ya Master of Business Administration - MBA) inayoanza mwezi huu November.Hali ya fedha imekuwa ngumu kumudu masomo...Wakuu naombeni ushauri wa namna ya kupata msaada kutoka taasisi ama mashirika juu ya ufadhili...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…